Deuteronomy 8:8-11

8 anchi yenye ngano na shayiri, mizabibu na mitini, mikomamanga, mafuta ya zeituni na asali; 9 bnchi ambayo chakula hakitapungua na hamtakosa chochote; nchi ambayo miamba yake ni chuma na mnaweza kuchimba shaba kutoka kwenye vilima.

10 cWakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni Bwana Mwenyezi Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa. 11 dJihadharini msimsahau Bwana Mwenyezi Mungu wenu, mkashindwa kushika maagizo yake, sheria na amri zake ambazo ninawapa leo.
Copyright information for SwhKC